Ijumaa, 27 Septemba 2013


Amewapa sharia ya Dini
aliyomuusia Nuh na
tuliyokupa wahyi wewe, na
tuliyowausia Ibrahim na
Musa na Isa, kwamba
simamisheni Dini wala
msifarikiane kwayo. Ni
magumu kwa washirikina
hayo unayowaitia. Mwenyezi
Mungu humteua kwake
amtakaye, Na humwongoa
kwake aelekeaye.

0 comments:

Chapisha Maoni